Mhe. Waziri wa Ardhi Prof Anna Tibaijuka atembelewa na waziri kutoka Norway
Mhe. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi Prof Anna Tibaijuka he. Waziri wa Ardhialitembelewa na Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa kutoka nchini Norway Bw. Heikki Holmas
Waziri wa Ardhi Mhe. Anna Tibaijuka afanya ziara katika Manispaa ya Kinondoni
Ziara ya Mhe. Waziri wa Ardhi Prof. Anna Tibaijuka katika manispaa ya Kinondoni kukagua uendelezaji miji ikiwemo ujenzi kwenye fukwe za bahari, ujenzi ulioziba barabara na kumbi za starehe katika makazi.
Mgeni Rasmi katika mahafali ya 16 chuo cha Ardhi Morogoro Mhe. Prof Anna Tibaijuka
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Prof. Anna Tibaijuka (kushoto) akielekea Jukwaa kuu wakati wa Sherehe za mahafali ya 16 ya Chuo cha Ardhi Morogoro. Anayefuatia nyuma ya Mhe. Tibaijuka ni Mkuu wa Mkoa huo Bw. Joel Bendera.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi ahudhuria mahafali chuo cha Ardhi Morogoro
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Prof. Anna Tibaijuka (kushoto) akipata maelezo ya namna ya kutumia kifaa cha upimaji kutoka kwa mmoja wa wahitimu katika Chuo cha Ardhi Morogoro. Mhe. Tibaijuka alikuwa mgeni rasmi katika mahafali hayo ya 16, yaliyofanyika mkoani Morogoro Machi mwaka huu. Kushoto kwake ni Mkuu wa Mkoa huo Bw. Joel Bendera.
Waziri wa Ardhi Mhe. Anna Tibaijuka akibadilishana mawazo na Balozi wa Marekani Mhe. Alfonso Lenherts
Submission on the Continental Shelf beyond 200 Nautical Miles to the CLCS
On 18 January 2012, the United Republic of Tanzania submitted to the Commission on the Limits of the Continental Shelf...
Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi
Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi
MAADHIMISHA YA MIAKA 50 YA UHURU WA TANZANIA BARA YA WIZARA YA ARDHI
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. Prof. Anna Tibaijuka (MB) akiwa na watumishi wa Wizara ya Ardhi katika maadhimisho ya miaka 50 ya uhuru wa Tanzania Bara viwanja vya Mnazimmoja
